AFATHALI SINGEKULETA DUNIANI ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ ðŸ˜
Amakwakweli hawakukosea wahenga waliposema wazazi ni dhahabu lakini kuwatunza ni dhawabu. Kutana naye mzee Kimathi anayeishi katika mtaa wa Tudor jijini Mombasa. Kimathi alifanikiwa kupata mtoto mmoja na ambaye alingangana kumsomesha. Mvulana huyu alifanikiwa kujiunga na chuo Cha upadri na baadae akahitimu kua kasisi mkubwa.
Siku moja ilitokea tuhuma ya kwamba Kimathi ni mchawi na hii ikamsababishia yeye kutengwa na familia yake. Kimathi aliamua kuhama kwake kitui na akaja Mombasa ambapo alianza kufanya vibarua mbalimbali ili kujikimu kimaisha.
Baada ya miaka kusonga uzee ulianza kumwandama na kwa bahati mbaya akaanza kuugua. Hii ilimlazimu Kimathi kuachana na vibarua vyake nakusalia kibandani chake ili apate nafuu. Ugonjwa ulimzidia na hivyo akaamua kwenda kumtafuta mwanae ili aweze kupata usaidizi. Alipo onana na yule mwanawe, mwanawe alimkana nakusema kua yeye hawezi kuwa na baba mchawi na hivyo hanausaidizi wowote kwa mchawi.
Maneno haya yalimkera saana Kimathi na kumfanya kulia kwa uchungu huku akikumbuka vile alivyo ngangana kumsomesha mwanawe lakini sasa anamwona Kama jaa la taka. Alimlaumu mungu kea kumpa mwana na akatamani asingemleta duniani. Hivi sasa Kimathi yuaishi kibandani chake huku akiwangoja wahisani wema waje wamsaidie.
WaaahðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ so touching
ReplyDeleteWaaaah
ReplyDeleteWhat a touching story
ReplyDelete🔥
ReplyDeleteEnter your comment... Lesson learned,,
ReplyDeleteam in tears ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
ReplyDeleteEnter your comment...Moral lesson learned,,,
ReplyDeleteSo emotional
ReplyDeleteEmotional one.great flow
ReplyDelete🔥🔥
ReplyDeleteGood work sister .keep up
ReplyDeleteLife lesson...
ReplyDeleteGreat job done
ReplyDeleteIts emotional
ReplyDeleteWooii😩 lesson learnt
ReplyDeleteThis is so emotional
ReplyDeleteGirls out here touching souls... Good piece
ReplyDeleteSo sad😪😪😪
ReplyDeleteGod work continue with the spirit
ReplyDeleteTouching
ReplyDeleteSo sad to see how we forget easily what parents do for us
ReplyDeleteSweet article
ReplyDelete